Lissu ashinda pingamizi dhidi ya Serikali Aliyekuwa Mbunge wa Singida Mashariki Tundu Lissu, leo Agosti 26, 2019 ameshinda pingamizi la Serikali, dhidi ya maombi ya kibali cha kufungua kesi kupinga kuvuliwa ubunge na Spika wa Bunge Job Ndugai. Read more about Lissu ashinda pingamizi dhidi ya Serikali