Lissu ashinda pingamizi dhidi ya Serikali

Aliyekuwa Mbunge wa Singida Mashariki Tundu Lissu, leo Agosti 26, 2019 ameshinda pingamizi la Serikali, dhidi ya maombi ya kibali cha kufungua kesi kupinga kuvuliwa ubunge na Spika wa Bunge Job Ndugai.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS