AY, Mwana FA na watangazaji wa Supa Mix ya EA Radio, Mariam Kitosi na Zembwela
Wasanii wakubwa na marafiki wa muda mrefu kutokea hapa nchini Tanzania AY na Mwana FA, wametoa somo kwa watu wote kuhusu maisha ya urafiki wao pamoja na maisha ya ndoa zao.