Waandamana kushinikiza Ndege ya TZ iachiwe Kamanda wa Polisi Dar es salaam Lazaro Mambosasa, amesema jeshi la polisi linawashikilia watu 3 kwa maandamano yasiyo na kibali wakishinikiza kurejeshwa kwa ndege ya Tanzania inayoshikiliwa Afrika Kusini. Read more about Waandamana kushinikiza Ndege ya TZ iachiwe