Sikukuu ya Eid : Waislamu watakiwa kuliombea Taifa

Sheikh Mkuu wa Mkoa wa Dodoma, Mustafa Rajab, amesema waumini wa Dini ya Kiislamu nchini hawana budi kuliombea Taifa, katika kipindi hiki kigumu, ambacho kinachopitia hasa kuhusiana na matukio ya ajali yanayotokea hivi sasa.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS