EU watoa neno kifo cha mtumishi Wizara ya Fedha

Umoja wa Ulaya (EU) umesema umeshtushwa na kifo cha aliyekuwa Mkurugenzi Msaidizi wa Fedha za Nje wa Wizara ya Fedha na Mipango, Mhandisi Leopold Lwajabe, ambaye mwili wake ulikutwa ukining'inia juu ya mwembe katika kijiji cha Mgoza Wilayani Mkuranga siku ya Julai 26, 2019.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS