RPC Mbeya kuchunguza walioshambulia msafara wa DC

Mkuu wa wilaya ya Kyela Claudi Kitta

Kaimu Kamanda wa Polisi Mkoani Mbeya Jeromi Ngowi,  amesema jeshi hilo linaendelea na uchunguzi ili kuweza kuwabaini wale wote  waliohusika na kuvamia msafara wa Mkuu wa wilaya ya Kyela Claudi Kitta,  katika Kijiji cha Mpunguti wilayani humo.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS