Namthamini yaigusa Kanda ya Kaskazini

Katika mwendelezo wa kuhakikisha wasichana wanaongeza ufaulu katika masomo yao, Kampeni ya Namthamini inayoendeshwa na East Africa Television na East Africa Radio, iliweka kambi ya wiki moja katika mikoa ya Arusha na Manyara kwaajili ya kugawa taulo za kike wa wanafunzi.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS