Namthamini yaigusa Kanda ya Kaskazini
Katika mwendelezo wa kuhakikisha wasichana wanaongeza ufaulu katika masomo yao, Kampeni ya Namthamini inayoendeshwa na East Africa Television na East Africa Radio, iliweka kambi ya wiki moja katika mikoa ya Arusha na Manyara kwaajili ya kugawa taulo za kike wa wanafunzi.