Mtwara: Amuua mkewe kisa 'kuchepuka',na yeye auawa
Kamishina Msaidizi wa Polisi Mkoa wa Mtwara Blasius Chatanda, amethibitisha kutokea kwa mauaji ya mwanaume mmoja aliyejulikana kwa jina la Juma Lugomba, Mkazi wa Kijiji cha Chiwata Wilaya ya Masasi, aliyeuawa na wananchi mara baada ya yeye kumcharanga kwa mapanga mke wake