"Ukitupa taka Mwenge utadeki Mbagala" - Makonda Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda amesema hadi sasa takribani madereva 102 wamekumbana na adhabu ya kudeki kipande cha kilomita 1 ya barabara kwa makosa mbalimbali. Read more about "Ukitupa taka Mwenge utadeki Mbagala" - Makonda