"Ukitupa taka Mwenge utadeki Mbagala" - Makonda

Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda

Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda amesema hadi sasa takribani madereva 102 wamekumbana na adhabu ya kudeki kipande cha kilomita 1 ya barabara  kwa makosa mbalimbali. 

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS