JPM aweka makubaliano na Rais wa Afrika Kusini
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt John Pombe Magufuli, leo Agosti 15 amekutana na mgeni wake Rais wa Jamhuri ya Afrika ya Kusini Cyril Ramaphosa, Ikulu ya Dar es Salaam na kufanya mazungumzo ya faragha na kwa pamoja wameweka makubaliano yatakayoleta tija kiuchumi.