Mwenyekiti CCM akamatwa kwa rushwa

Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU) Wilaya ya Liwale Mkoani Lindi, inamshikilia Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM) kata ya Likongowele, Mohamedi Ndope maarufu (Kifuku), kwa tuhuma za kupokea rushwa ya Sh 300,000.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS