Msanii hatarini kufungwa miaka 195

Mwanamuziki RKelly huenda akakutana na kifungo cha miaka 195 jela baada ya jana kufikishwa mahakamani, akituhumiwa makosa 13 yanayohusiana na unyanyasaji wa kingono, ambapo amepangiwa kurudi tena mahakamani Septemba 14, 2019.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS