Watanzania wang'ara maonyesho ya wiki ya viwanda
Waziri wa Viwanda na Biashara Innocent Bashungwa, amesema Jumla ya washiriki 3001 kutoka nchi za Wakuu wa Jumuiya ya Maendeleo kusini mwa Afrika SADC, wamejitokeza katika maonyesho na midahalo mbalimbali.