Simba yatangaza usajili wa mchezaji mwingine

Wachezaji wa Simba wakifanya mazoezi

Klabu ya soka ya Simba kupitia kwa msemaji wake Haji Manara ameweka wazi kuwa, leo watamtangaza mchezaji mmoja ambaye mpaka sasa alikuwa hajaungana na kikosi kwenye maandalizi ya msimu ujao.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS