Polisi waeleza chanzo cha kifo cha mtoto wa Dereva
Mtoto wa dereva wa Mkuu wa Mkoa wa Mara, aliyefahamika kwa jina la Kasobi Shida (26), ambaye alilazwa katika Hospitali ya Mkoa Mara, baada ya kupata ajali wakati akiendesha gari ya RC Adam Malima amefariki dunia.