TAKUKURU yampandisha mahakamani Mwenyekiti wa CCM
Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU), Wilaya ya Liwale, Mkoani Lindi, imemfikisha mahakamani Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Kata ya Likongowele, Mohamedi Ndope akidaiwa kuomba na kupokea rushwa ya Sh. laki 3.