TAKUKURU yampandisha mahakamani Mwenyekiti wa CCM

Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU), Wilaya ya Liwale, Mkoani Lindi, imemfikisha mahakamani Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Kata ya Likongowele, Mohamedi Ndope akidaiwa kuomba na kupokea rushwa ya Sh. laki 3.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS