Mwanamichezo mwanaume akutwa mjamzito
Mwanamichezo wa mpira wa kikapu nchini Marekani Donell Cooper, amezua gumzo ulimwenguni baada ya kupimwa mkojo na kukutwa mjamizito wakati anafanya vipimo vya afya ili kujiunga na timu nchini Bosnia Herzogovina.