Meya amjibu Makonda, asema sheria lazima ifuatwe

Meya wa Manispaa ya Kinondoni, Benjamin Sitta amesema, kilichocheleweshwa kuanza kwa ujenzi wa ufukwe mpya wa Coco ni kufuatwa kwa sheria za manunuzi pamoja na mabadiliko ya mchoro uliosababishwa na ujenzi wa daraja la Selander.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS