Simba amla mtoto mbele ya mama yake
Kamanda wa Polisi Mkoa wa Katavi Benjamin Kuzaga, ameeleza kutokea kwa tukio la mtoto mwenye umri wa miaka 6, aliyeuawa baada ya kuliwa na Simba, wakati akiwa amelala na mama yake katika Kijiji cha Sitalike wilayani Mpanda.