Mbrazil ashangazwa na mashabiki wa Simba

Gerson Fraga Vieira akishangilia na Kagere

Kiungo mpya wa klabu ya Simba, Gerson Fraga Vieira ameelezea jinsi alivyoshangazwa na mashabiki wa klabu hiyo waliojitokeza katika mchezo wa Simba Day hapo jana.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS