MKUTANO SADC : Magufuli atoa agizo la Zimbabwe
Mwenyekiti mpya wa Jumuiya ya SADC Dkt John Pombe Magufuli ameziomba Jumuiya za Kimataifa kuiodolewa vikwazo vya kiuchumi, Zimbabwe kwa kile alichokisema kufungiwa kwa nchi hiyo wanaoathirika hadi wanachama wa Jumuiya hiyo.