RPC Kigoma azungumzia Radi iliyoua Ng'ombe 22 Ng'ombe Kamanda wa Polisi Mkoani Kigoma Martin Ottieno, amethibitisha kutokea kwa tukio la kufa kwa Ng'ombe takribani 22, baada ya kupigwa na radi katika Kijiji cha Kaziramihunda Wilayani Kakonko Mkoani humo. Read more about RPC Kigoma azungumzia Radi iliyoua Ng'ombe 22