Mfumuko wa bei wabaki palepale

Kaimu Mkurugenzi wa Sensa na Takwimu za Jamii, Ruth Minja, amesema kiwango cha mfumuko wa bei kwa kipindi cha mwezi Julai 2019 kimebaki kuwa asilimia 3.7, kama ilivyokuwa kwa mwaka ulioishia mwezi Juni 2019.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS