Mfumuko wa bei wabaki palepale Kaimu Mkurugenzi wa Sensa na Takwimu za Jamii, Ruth Minja, amesema kiwango cha mfumuko wa bei kwa kipindi cha mwezi Julai 2019 kimebaki kuwa asilimia 3.7, kama ilivyokuwa kwa mwaka ulioishia mwezi Juni 2019. Read more about Mfumuko wa bei wabaki palepale