Mastaa waililia Afrika Kusini

Wasanii na watu maarufu

Nchini Afrika Kusini kuna machafuko na vurugu ambazo zinaendelea kutoka kwa wenyeji ambao wanachochea suala la ubaguzi wa rangi kwa kuwapiga, kuwaibia na kuwachoma moto wageni na raia ambao sio wa nchi hiyo.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS