DC aagiza wachimbaji madini kukamatwa Mkuu wa Wilaya ya Chato, Mtemi Msafiri, ameamuru kukamatwa kwa wachimbaji wakubwa wa madini katika eneo la Matabe wilayani humo, ambao wanadaiwa kuwa wasumbufu kwa wachimbaji wadogo wa madini katika eneo hilo. Read more about DC aagiza wachimbaji madini kukamatwa