Tundu Lissu asogeza mbele tarehe ya kurudi TZ

Aliyekuwa Mbunge wa Singida Mashariki, Tundu Lissu, amesema amesogeza mbele tarehe ya kurudi Tanzania, kutokana na daktari wake kumtaka kuonana naye tena mwanzoni mwa mwezi Oktoba, kwa ajili ya matibabu ya mwisho.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS