Fredrick Mwakalebela (katikati), Dismas Ten (kushoto) na Mjumbe wa Kamati ya Utendaji ya Yanga, Araphat.
Makamu Mwenyekiti wa klabu ya Yanga, Fredrik Mwakalebela amemaliza utata juu ya tetesi za uongozi wa klabu hiyo kutokuwa na maelewano mazuri na Kaimu Katibu Mkuu wake, Dismas Ten.