Twitter yazuia kupost kwa njia ya SMS

Ikiwa zimepita siku chache tangu akaunti ya mwanzilishi pia mkurugenzi mkuu wa Twitter Jack Dorsey kudukuliwa, sasa mtandao huo umeamua kufanya mabadiliko kadhaa ili kuongeza ulinzi zaidi kwa watumiaji wake.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS