Twitter yazuia kupost kwa njia ya SMS Ikiwa zimepita siku chache tangu akaunti ya mwanzilishi pia mkurugenzi mkuu wa Twitter Jack Dorsey kudukuliwa, sasa mtandao huo umeamua kufanya mabadiliko kadhaa ili kuongeza ulinzi zaidi kwa watumiaji wake. Read more about Twitter yazuia kupost kwa njia ya SMS