Lindi : Dereva Bodaboda alipukiwa na petroli ndani
Watu wawili mume na mke wakazi wa Kijiji cha Kilimanjaro, Kata ya Mtumbya mkoani Lindi, Shafii Selemani na Liuza Shafii wamenusurika kifo kufuatia nyumba yao kuteketea kwa moto uliochangiwa na mafuta aina ya Petroli.