Madee atupa dongo kwa Nikki Wa Pili, Mwana FA

Nguli wa Bongo Fleva na shabiki mkubwa wa timu ya Arsenal hapa nchini Tanzania Madee, amewapiga kijembe wasanii wenzake na mashabiki wa timu ya Manchester United ambao ni Nikki wa Pili Mwana Fa na Ommy Dimpoz.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS