'Wakulima wanahangaika sana' - RC Rukwa
Mkuu wa Mkoa wa Rukwa Joachim Wangabo amevitaka vyama vya ushirika katika Mkoa wa Rukwa kujiunga na Chama Kikuu cha Ushirika cha Mkoa, ili kuwa na umoja na nguvu katika kutafuta masoko ya mazao yao na kuachana na walanguzi.