Mrithi wa Lissu aanza na hili Bungeni

Mbunge wa Mteule wa Singida Mashariki Miraji Mtaturu, ameapishwa leo Bungeni jijini Dodoma, akirithi nafasi ya aliyekuwa Mbunge wa Jimbo hilo Tundu Lissu, ambaye alivuliwa Ubunge na Ofisi ya Spika wa Bunge.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS