''Namthamini ni ya tofauti'' - Afisa Elimu Tabora
Afisa Elimu Vifaa na Takwimu (Sekondari) Manispaa ya Tabora, Bi. Halima Athumani Sangali, ameisifu Kampeni ya Namthamini kwa kujikita kusaidia shule za Vijijini tofauti na ambayo huwa wanafanya wadau wengine.