''Namthamini ni ya tofauti'' - Afisa Elimu Tabora

Wanafunzi wa shule ya Sekondari Ikomwa iliyopo Manipsaa ya Tabora

Afisa Elimu Vifaa na Takwimu (Sekondari) Manispaa ya Tabora, Bi. Halima Athumani Sangali, ameisifu Kampeni ya Namthamini kwa kujikita kusaidia shule za Vijijini tofauti na ambayo huwa wanafanya wadau wengine.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS