Kinachomvutia Gnako kwenye Sprite Bball Kings 2019
Msanii wa kundi la Weusi, Gnako 'Warawara', leo amefunguka kitu kinachomvutia kwenye msimu huu wa mashindano ya Sprite Bball King's ambayo yameandaliwa na East Africa Television na East Africa Radio kwa kushirikiana na kinywaji cha Sprite.