Yanga yapinga uamuzi wa TFF, yapanda kwa Mwakyembe

Fredrick Mwakalebela (kushoto) akiwa na moja ya kiongozi wa klabu katika mkutano na wanahabari

Uongozi wa klabu ya Yanga umepeleka malalamiko kwa Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo ukipinga uamuzi wa Bodi ya Ligi kumfungia kocha Mwinyi Zahera.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS