Kocha Stars ataja siri ya kuifunga Burundi

Kocha wa timu ya Taifa Tanzania, Etienne Ndayiragije, amesema wataibuka na ushindi kwenye mchezo wa leo, dhidi ya Burundi, kwa ajili ya kuwania kufuzu fainali za Kombe la Dunia zitakazofanyika 2022, Qatar.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS