Ninja afanya kama Yanga huko LA Galaxy

Abdallah Shaibu Ninja

Beki mpya wa klabu ya LA Galaxy inayoshiriki Ligi Kuu ya nchini Marekani MLS, Abdallah Shaibu 'Ninja' amecheza mchezo wake wa kwanza akiwa na timu hiyo hapo jana na kufanya makosa kama alivyofanya katika mchezo wa kwanza akiwa na Yanga.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS