Ripoti ya LHRC yaitaja Kanda ya Ziwa kuwa kinara
Ripoti ya nusu mwaka ya Kituo cha Sheria na Haki za Binadamu (LHRC), inayobainisha hali ya haki za binadamu nchini, imezinduliwa leo Agosti 20, ambapo imeonyesha kuwepo kwa ushamiri wa hali ya ukatili dhidi ya watoto wadogo.