Waliokula fedha Bil 3.4 wakabidhiwa TAKUKURU
Mkuu wa mkoa wa Mwanza John Mongela amekabidhi ripoti ya mkaguzi wa ndani wa hesabu za serikali kwa kamanda wa TAKUKURU wa wilaya ya Ukerewe, kufuatia ripoti hiyo kubainisha upotevu wa fedha za serikali zaidi ya shilingi bilioni 3.4.