Mtoto wa miaka 15 akamatwa eneo la Makahaba

Mahakama Mwanzo mjini Morogoro imemuachia huru mtuhumiwa Even Mgaya (15) baada ya kukutwa hana hatia katika kesi ya uzembe na uzururaji inayowakabili watuhumiwa 29, na kuamuru kukamatwa kwa mwajiri wake ambaye ni mkufunzi wa Chuo cha Ualimu Kigurunyembe, aliyetambulika kwa jina la Mama Jak

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS