Kila baada ya sekunde 40, mmoja hujitoa uhai

Picha ya mfano wa kitanzi kinachoweza kutumiwa na mtu kujiua.

Shirika la Afya Duniani (WHO), limesema kila baada ya sekunde 40 mtu mmoja hujitoa uhai ulimwenguni, sababu kuu ikiwa ni kushindwa kuhimili msongo wa mawazo kutokana changamoto mbalimbali za kiuchumi, kimapenzi, na kisiasa.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS