Lindi : Mama asababisha mtoto kuungua moto Mtoto mmoja aliyefahamika kwa jina Abdulrazak Hamis (2), mkazi wa Kijiji cha Njinjo wilayani Kilwa, ameungua kwa moto sehemu kubwa mwilini mwake, kufuatia kuachwa karibu na moto na mama yake Mzazi. Read more about Lindi : Mama asababisha mtoto kuungua moto