Lindi : Mama asababisha mtoto kuungua moto

Mtoto mmoja aliyefahamika kwa jina Abdulrazak Hamis (2), mkazi wa Kijiji cha Njinjo wilayani Kilwa, ameungua kwa moto sehemu kubwa mwilini mwake, kufuatia kuachwa karibu na moto na mama yake Mzazi.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS