Kabendera amepooza mguu, mahakama yaamua hili

Mwandishi wa Habari Erick Kabendera akiwa na Mwanasheria wake Jebra Kambole Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu.

Kesi inayomkabili Mwanahabari Erick Kabendera imeahirishwa hadi Septemba 18, ambapo Hakimu wa Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu Agustine Rwizile, amemuagiza Mtuhumiwa kuja kuieleza mahakama kile kitakachoendelea kuhusu afya yake.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS