Magufuli ateua Mkurugenzi mpya Usalama wa Taifa Rais Magufuli (kushoto) na Diwani Athumani akila kiapo (kulia). Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. John Magufuli amemteua na kumuapisha Kamishna Diwani Athumani Msuya, kwa kuwa Mkurugenzi Mkuu wa Idara ya Usalama wa Taifa. Read more about Magufuli ateua Mkurugenzi mpya Usalama wa Taifa