Rais azindua hoteli itakayoongeza pato la taifa

Rais wa Zanzibar Dkt Ali Mohamed Shein

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Mapinduzi Dkt Ali Mohamed Shein, leo Agosti 24, amezindua  hotel ya Madinat El Bahr mjini Unguja, itakayoweza kuchangia asilimia 27 ya pato la Taifa na asilimia 80 ya fedha za kigeni.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS