Maalim Seif apigwa 'stop' Temeke
Chama cha ACT - Wazalendo kimethibitisha kukamatwa na Jeshi la polisi kwa baadhi ya wanachama wa chama hicho akiwemo Katibu wa kamati ya uadilifu Mbarala Maharagande, wakati wa harakati za uzinduzi wa matawi katika Kata ya Azimio Wilaya ya Temeke.