Maalim Seif apigwa 'stop' Temeke

Mshauri wao Mkuu Maalim Seif Sharif Hamad

Chama cha ACT - Wazalendo kimethibitisha kukamatwa na Jeshi la polisi  kwa baadhi ya wanachama wa chama hicho akiwemo Katibu wa kamati ya uadilifu Mbarala Maharagande, wakati wa harakati za uzinduzi wa matawi katika Kata ya Azimio Wilaya ya Temeke.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS