Amber Lulu aeleza alivyomshushia kichapo Mwalimu
Msanii wa Muziki wa Bongofleva, Amber Lulu, amesema moja ya matukio ambayo anayakumbuka akiwa anasoma Shule ya Sekondari Itigi Mkoani Mbeya, alimshushia kichapo, mwalimu wake kwa kile alichokidai alikuwa anamuonewa.

