Samia afunguka kuzomewa kwa Ramaphosa
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan, amesema amefurahishwa na hotuba ya kuomba msamaha iliyotolewa na Rais wa Afrika Kusini, Cyril Ramaphosa, baada ya wananchi wa Zimbabwe kumzomea wakati wa zoezi la kuaga mwili wa Rais wa zamani wa Zimbabwe, Robert Mugabe

