''Dodoma tulisubiri kwa hamu sana'' - Katambi Mkuu wa Wilaya ya Dodoma Mjini Mh. Patrobas Katambi Mkuu wa Wilaya ya Dodoma Mjini Mh. Patrobas Katambi, ameeleza kufurahishwa na ujio wa kampeni ya Namthamini mkoani humo, ambapo ameweka wazi kuwa walikuwa wakiisubiri kwa hamu sana. Read more about ''Dodoma tulisubiri kwa hamu sana'' - Katambi