''Dodoma tulisubiri kwa hamu sana'' - Katambi

Mkuu wa Wilaya ya Dodoma Mjini Mh. Patrobas Katambi

Mkuu wa Wilaya ya Dodoma Mjini Mh. Patrobas Katambi, ameeleza kufurahishwa na ujio wa kampeni ya Namthamini mkoani humo, ambapo ameweka wazi kuwa walikuwa wakiisubiri kwa hamu sana.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS