Morogoro : PM amtaka DED na wenzake kulipa Bil 1
Waziri Mkuu Kassim Majaliwa amewasimamisha kazi watumishi saba katika Halmashauri mbili za Wilaya ya Kilombero, kwa tuhuma za ubadhilifu wa fedha zaidi ya Sh. Bilioni 1.3 za makusanyo ya mapato ya ndani.

