Manara amvaa Kindoki, mwenyewe ampa majibu haya

Msemaji wa Klabu ya Simba Haji Manara ameonekana akitupiana maneno na Mjumbe wa Kamati ya Hamasa wa Yanga, Jimmy Kindoki, ikiwa ni siku chache baada ya kumalizika kwa sare ya 1-1 katika mchezo wa kuwania makundi Ligi ya Mabingwa Afrika, dhidi ya Zesco United uliochezwa jana.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS