Ukweli kuhusu wanafunzi  1129 kufeli UDSM

Jengo la kitivo cha biashara, Chuo Kikuu cha Dar es Salaam

Uongozi wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam, umekanusha taarifa zilizoenea katika mitandao ya kijamii juu ya matokeo ya mitihani ya wanafunzi chuoni hapo, inayodai kuwa takribani  wanafunzi 1129 wamefeli 'disco' kuendelea na masomo huku wengine zaidi ya 7000 wakitakiwa kurudia mitihani.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS